Fri, 5 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa Arsenal, Thomas Partey amekanusha uvumi kuwa mwisho wa msimu huu ataondoka Arsenal,badala yake amesema ana furaha sana klabuni hapo na hafikirii kuondoka
“Hii ndio sehemu niliyochagua kucheza ,nina furaha sana ninapokuwa uwanjani najua kuna mengi huko nje ila nitaendelea kuwa hapa”
Kwenye game ya juzi dhidi yaLuton Town:
Alicheza dakika_______67. Accurate Passes___ [ 93% ] 62/67 Touches______________75 Tackles_______________100%
Chanzo: www.tanzaniaweb.live