Tue, 28 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Arsenal imethibitisha kuwa ttamuuza kiungo wake raia wa Ghana Thomas Partey mwezi January na mbadala wake ni Douglas Luiz kutoka Aston Villa.
Klabu ya Arsenal imethibitisha kuwa ttamuuza kiungo wake raia wa Ghana Thomas Partey mwezi January na mbadala wake ni Douglas Luiz kutoka Aston Villa. Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anaonekana kumuhitaji kwa nguvu Douglas Luiz katika kikosi chake.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live