Mon, 20 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Falonne Pambani Kuzoya mzaliwa wa Agosti 2, 1994 Kinshasa DR Congo amekula kandarasi ya miaka miwili kukipigwa kwa mabingwa nchi Simba Queens.
Pambani alikuwepo nchini tangu mwezi uliopita, baada ya timu yake ya Aman FC kupata mualiko wa kuja kucheza mechi ya kirafiki na Simba.
Ambapo walipata nafasi ya kucheza na JKT Queens pia. Pambani ni mchezaji pia wa Timu ya Taifa ya DR Congo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live