Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwenyekiti wa timu ya Pamba Jiji Fc na Naibu Meya wa Jiji la Mwanza Bhiku Kotecha akitoa ufafanuzi kuhusu taarifa iliyotoka jana ya kuacha wachezaji wote waliyoipandisha timu hiyo kurejea Ligi kuu soka NBC 2024/25.
Tazama Video hapa Chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live