Fri, 14 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa klabu ya Pamba FC umethibitisha kuwa kuanzia sasa klabu hiyo itakuwa chini ya umiliki wa halmashauri ya jiji la Mwanza.
Uongozi wa klabu ya Pamba FC umethibitisha kuwa kuanzia sasa klabu hiyo itakuwa chini ya umiliki wa halmashauri ya jiji la Mwanza. Hii inaenda kuongeza timu zinazomilikiwa na halmashauri nchini kama vile Mbeya City, KMC, Namungo, Geita Gold na nyinginezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live