Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Palace yapata mbadala wa Olise

Michael Olise Chelsea.jpeg Palace yapata mbadala wa Olise

Mon, 6 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Klabu ya Crystal Palace inaripotiwa kutaka kumsajili winga Reiss Nelson wa Arsenal ikiwa Michael Olise ataondoka katika dirisha kubwa la usajili.

Inaelezwa kuwa 'The Gunners' wanaweza kumuuza mchezaji huyo licha ya kwamba alisaini mkataba mpya mwaka jana.

Nelson mwenye umri wa miaka 22 amekuwa kwenye kikosi cha Mikel Arteta kwa mwaka 3 lakini ameshindwa kuonyesha uwezo wake kila anapopewa nafasi.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live