Fri, 29 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo fundi wa Yanga, Pacome Zouzoua "zidane wa Bongo" ameachwa kwenye kikosi cha Mwisho cha Ivory Coast kitakacho shiriki michuano ya Africa Cup of nations.
Kiungo fundi wa Yanga, Pacome Zouzoua "zidane wa Bongo" ameachwa kwenye kikosi cha Mwisho cha Ivory Coast kitakacho shiriki michuano ya Africa Cup of nations. Ikumbukwe nyota huyo alitajwa kwenye kikosi cha awali cha Tembo hao kilicho jaa mastar kibao wa Ulaya lakini Mwisho wa siku hakufanikiwa kupita kwenye mchujo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: