Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo fundi wa Klabu ya Yanga,Pacome Zouzoua raia wa Ivory Coast ametwaa tuzo ya Mchezaji bora wa Mashabiki wa Klabu ya Yanga kwa mwezi November.
Kiungo fundi wa Klabu ya Yanga,Pacome Zouzoua raia wa Ivory Coast ametwaa tuzo ya Mchezaji bora wa Mashabiki wa Klabu ya Yanga kwa mwezi November. Pacome anabeba Tuzo hiyo akiwapiku nyota wenzake wa Yanga Khalid Aucho na Clement Mzize.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: