Fri, 5 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Yanga na timu ya Taifa ya Ivory Coast Pacome Zouzoua na Saido Ntibazonkiza wa Simba mchango wao upo sawa katika Ligi ya Mabingwa Afrika CAFCL msimu huu.
Katika mechi 6 walizocheza hadi sasa kila mmoja amechangia magoli manne katika timu yake.
Pacome Goli 3 Assist 1
Saido Goli 2 Assist 2
Ratiba Kamili:
Mamelodi v Yanga
April 5 Saa 3 Usiku
Al Ahly vs Simba
April 5 Saa 5 Usiku
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: