Mon, 19 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mastaa wa Simba, Pa Omar Jobe na Babacar Sarr wameamua kukata dred zao na sasa wamekuwa na mwonekano mpya.
Nyota hao wawili wote wamesajiliwa katika dirisha dogo lililopita na wameingia moja kwa moja kwenye kikosi na tayari wametoa msaada.
Pa na Babacar wote wana goli mojamoja ndani ya NBC Premier Ligue. Pa ni mshambuliaji, Babacar yeye ni kiungo mkabaji.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live