Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya PSG haitamruhusu mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe mwenye umrui wa miaka 24 kuondoka klabuni hapo katika majira ya joto.
Klabu ya PSG haitamruhusu mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Kylian Mbappe mwenye umrui wa miaka 24 kuondoka klabuni hapo katika majira ya joto. Mshambuliaji huyo ataingia katika msimu wake wa mwisho wa mkataba na PSG majira ya joto, hata hivyo, ripoti inaeleza kuwa Les Parisiens hawatamruhusu nahodha wao kuondoka, haijalishi watapokea dau kubwa kiasi gani.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: