Thu, 14 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Matajiri wa Ufaransa, Klabu ya PSG wanaandaa kitita cha Pauni Milioni 75 ili kumshawishi winga wa Man United, Marcus Rashford kujiunga nao dirisha lijalo.
Matajiri wa Ufaransa, Klabu ya PSG wanaandaa kitita cha Pauni Milioni 75 ili kumshawishi winga wa Man United, Marcus Rashford kujiunga nao dirisha lijalo. PSG wanasaka mbadala wa Kylian Mbappe ambae amegoma kuongeza Mkataba na matajiri hao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live