Fri, 23 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa za ndani zinaeleza Klabu ya PSG ipo tayari kutoa Paundi Milioni 30 kwa ajili ya Kiungo wa Manchester United Fred.
Taarifa za ndani zinaeleza Klabu ya PSG ipo tayari kutoa Paundi Milioni 30 kwa ajili ya Kiungo wa Manchester United Fred. Paris Saint-Germain (PSG) imehusishwa na Mbrazili huyo ambaye jina lake kamili ni Frederico Santos licha ya kuwa amesaini nyongeza ya Mkataba wa Mwaka mmoja kuendelea kuichezea Man United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live