Timu ya Paris St-Germain ya Ufaransa wameamua kupiga breki nia yao ya kutaka kumnunua mshambulliaji wa Manchester United, Marcus Rashford huku mipango yao ikiwa ni kufuatilia malengo mengine ya uhamisho kabla ya dirisha la kiangazi.
Timu ya Paris St-Germain ya Ufaransa wameamua kupiga breki nia yao ya kutaka kumnunua mshambulliaji wa Manchester United, Marcus Rashford huku mipango yao ikiwa ni kufuatilia malengo mengine ya uhamisho kabla ya dirisha la kiangazi. Wakati huohuo timu ya Manchester United yenyewe haitarajii kama kuna klabu yoyote itaweza kufikia thamani ya £70m ya mshambuliaji wao huyo Marcus Rashford msimu huu wa joto.