Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya PSG inavutiwa na mshambuliaji wa Bayer Leverkusen, Moussa Diaby kwa ajili ya kumsajili wakati ujao wa usajili.
Vilabu kadhaa vya Ligi kuu England na Ligi kuu ya Serie A pia vinamfuatilia kwa karibu nyota huyo raia wa Ufaransa.
Diaby aliuzwa na PSG Julai 2019 na sasa wanataka kumrudisha kwa mara nyingine katika kikosi chao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live