Mon, 19 Dec 2022
Chanzo: Bbc
Ilichukua zaidi ya dakika 120 za kizunguzungu na mikwaju ya penalti ambayo iliendelea mpaka ushindi ulipopatikana.
Lakini ulikuwa ni ushindi wa thamani yake kuona Argentina hatimaye ikichukua Kombe la Dunia.
Timu ya Argentina imeibuka na ubingwa kwa mara tatu wa ushindi wa kombe la dunia.
Jumapili hii ushindi wao dhidi ya Ufaransa katika fainali kali nchini Qatar 2022.
Ghala wimbi la kuvutia la watu lilifika katikati ya Buenos Aires, na kutoka nchi mbalimbali ulimwengu kusherehekea ushindi huu wa Kombe la kumi la Dunia kwa timu ya Amerika ya Kusini.
Chanzo: Bbc