Tue, 17 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Simba SC wamerejea nchini jioni hii Januari 17, 2023 wakitokea Falme za Kiarabu-Dubai ambapo waliweka kambi kwa takribani siku 8.
Simba wamewasili wakiwa na Kocha Mkuu Mpya Roberto Oliviera 'Robertinho' ambaye ataanza kibarua chake rasmi kesho kwenye Uwanja wa Benjamini Mkapa dhidi ya Mbeya City.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live