Fri, 15 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania TFF, linatarajia kutoa tuzo kwa wachezaji wa mashindano na ligi mbali mbali kwa msimu uliopita , tuzo zipatazo 56.
Tuzo hizo zinatarajiwa kufanyika katika Ukumbi wa Julius Nyerere International Conference Centre(JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Tazama list kamili;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live