Mon, 7 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya siku ya jana kuibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Geita Gold katika Uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza.
Yanga hii leo Machi 7, wamerejea Jijini Dar kwa ajili ya kujiandaa na michezo yao inayofuata ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Tazama hapa chini Kikosi cha Yanga kikiwasili Uwanja wa ndege wa Julius Nyerere;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live