Fri, 18 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson akikabidhi kadi ya Uanachama ya Kielektroniki kwa Wabunge katika hafla ya uzinduzi wa kadi mpya za uanachama za Yanga leo Dodoma.
“Hizi klabu zinachokifanya ni kuwaleta watu pamoja na kuwaunganisha watu wa kila namna, makabila yote, Dini zote na mnavyoleta watu wengi mnatusaidia sisi viongozi maana kwenye jamii kunakuwa na Amani, nawatakia kila la kheri katika zoezi hili.” Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live