Thu, 24 Feb 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kushindwa kufanya mazoezi kwa siku tatu kutokana na umbali wa Safari kutoka Niger kwenda Morocco, hatimaye usiku wa jana Kikosi cha Simba kimeanza mazoezi.
Tazama picha mbali mbali hapa Chini uone;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live