Fri, 12 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha mpya wa wekundu wa Msimbazi Simba SC, Pablo Franco Martin ameanza rasmi majukumu ndani ya klabu hiyo.
Pablo ameonekana akiwaelekeza wachezaji wawe makini katika suala zima la pasi ambapo ameonekana kulizingatia kwa kiasi kikubwa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live