Mon, 24 Jan 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Vinara wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Dar Young Africans (Yanga) wamewasili salama salimini Jijini Dar kutokea Jijini Arusha.
Kwa takribani wiki mbili Yanga walikua Mikoani Tanga na Arusha kwa ajili ya michezo yao dhidi ya Coastal Union na Polisi Tanzania.
Katika michezo yote hiyo miwili ya ugenini, Yanga wameibuka na ushindi na kujikusanyia alama sita.
Tazama picha hapa chini kikosi hicho kikiwasili;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live