Tue, 27 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pepe amesema hana mpango wa kustaafu soka mpaka Ronaldo atakapotangaza kustaafu ,amesisitiza kuwa kuwa hayo ni makubaliano ambayo wawili hao walikubaliana
Pepe amesema hana mpango wa kustaafu soka mpaka Ronaldo atakapotangaza kustaafu ,amesisitiza kuwa kuwa hayo ni makubaliano ambayo wawili hao walikubaliana “ Sina mpango wa kustaafu soka endapo Ronaldo anaendelea kucheza, ninapenda kuendelea kucheza pamoja nae mpaka pale atakapotangaza kustaafu ndio na Mimi nitastaafu rasmi,hii ni ahadi tuliiweka kwa pamoja Mimi na yeye.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live