Thu, 14 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Straika wa Napoli, Victor Osimhen amekubali kuongeza mkataba wake Napoli kwa miezi 12 hadi 2026.
Straika wa Napoli, Victor Osimhen amekubali kuongeza mkataba wake Napoli kwa miezi 12 hadi 2026. Mkataba huo mpya una kipengele cha kutolewa chenye thamani ya takriban £112m. Ina maana Itakuwa Vigumu kuondoka Januari, 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live