Wed, 22 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati huu ambapo Yanga wako kwenye kilele cha furaha ya kupata matokeo katika michezo yao ya Michuano mbalimbali ndani na nje ya nchi.
Wakati timu hiyo ikiwa katika furaha hiyo bado kuna kitu kikubwa na cha msingi ambacho kinaonekana mchakato wake bado haujakamilika.
Akizungumzia suala hilo mchambuzi wa michezo kutoka E-fm Oscar Oscar anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: