Thu, 21 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchambuzi na Mtangazaji Kutoka Wasafi FM, Oscar Oscar "Mzee wa Kaliua" anasema kitendo cha Klabu ya Yanga kuingiza Mashabiki bure katika mchezo wa Robo Fainali ya Mkondo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni kitendo cha aibu kwa klabu kubwa kama Yanga.
Msikilize Oscar Oscar akifafanua kwenye Video hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: