Wed, 25 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Wakati akiongelewa kwa dihaka baada ya kupokea kichapo mbele ya waajiri wake wa zamani Klabu ya Yanga.
Kiungo wa Azam FC Feisal Salum amekuwa akiongelewa kwa namna tofauti tofauti lakini mchambuzi wa Michezo kutoka wasafi FM Oscar Oscar amemkingia kifua mchezaji huyo.
Akizungumza Oscar Oscar anasema;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live