Orodha ya wachezaji, makocha na timu zilizoshinda Tuzo za mwaka 2022 za Shirikisho la Soka la Afrika (CAF).
Tuzo hizo zimetolewa usiku huu wa Julai 21, 2022, Rabat nchini Morocco ambapo Sakho alikuwa akiwania nafasi hiyo dhidi ya Gabadinho Mhango wa Orlando Pirates na Zouhair El Moutaraji wa Wydad Athletic Club.
Sadio Mané
Player of the Year
Pape Matar Sarr
Youth Player of the Year
Pape Ousmane Sakho
Goal of the Year
Mohammed El Shenawy
Interclubs Player of the Year
Asisat Oshoala
Women Player of the Year
Aliou Cissé
Men's Coach of the Year
Desiree Ellis
Women's Coach of the Year
Mamelodi Sundowns Ladies F.C.
Women's Club of the Year
Evelyn Badu
Women Interclub Player of the Year
Evelyn Badu
Women Youth Player of the Year
Wydad AC
Club of the Year
Senegal national football team
Team of the Year