Fri, 23 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Chelsea imeweza kuruhusu wachezaji sita hadi hivi sasa kutohudumu kwenye msimu ujao wa 2023/24 ndani ya kikosi chake ambapo wachezaji hao wameelekea katika vilabu mbalimbali.
Hawa ndio wachezaji waliouzwa na klabu ya Chelsea kuelekea vilabu tofauti tofauti ambapo wachezaji wengine wameondoka wakiwa wachezaji huru na wengine klabu imewauza.
▫️ Ng'olo Kante
▫️ Hakim Ziyech
▫️ Mateo Kovacic
▫️ Kai Havertz
▫️ Eduardo Mendy
▫️ Kalidou Koulibaly.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: