Tue, 16 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini usiku wa kuamkia leo imeitandika Sevilla Fc ya Laliga jumla ya magoli 2-0 kwenye mchezo wa kirafiki katika dimba la Estadio Jesus Navas huko, Sevilla Uhispania
FT: Sevilla 0-2 Orlando Pirates
⚽️ Miguel Timm 21’
⚽️ Kabelo Dlamini 81’.
Inaweza kuwa mechi ya kirafiki tu lakini Pirates kufunga magoli mawili kwa nunge dhidi ya klabu inayoshiriki Laliga kwenye ardi ya Uhispania sio jambo la mchezo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live