Sun, 8 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Orlando Pirates ya Afrika Kusini imetwaa ubingwa wa kombe la MTN 8 2023 kufuatia ushindi wa penalti 3-1 dhidi ya Mamelodi Sundowns kwenye mchezo wa fainali uliopigwa katika dimba la Moses Mabhida, Durban.
FT: Orlando Pirate 0-0 Mamelodi Sundowns (Penalty Kick 3-1)
Pirates ambao walikuwa Mabingwa watetezi wamefanikiwa kulitetea kombe lao mbele ya Masandawana na wanatwaa kombe hilo kwa mara ya 12 kihistoria.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live