Tue, 20 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Joash Onyango ana karibia kujiunga na Shabana Fc ya nhini Kenya kwa mkopo wa miezi sita (6) mpaka mwishoni mwa msimu.
Joash Onyango ana karibia kujiunga na Shabana Fc ya nhini Kenya kwa mkopo wa miezi sita (6) mpaka mwishoni mwa msimu. Ikumbukwe kuwa Joash Onyango yupo kwa Mkopo katika Klabu ya Singida akitokea Simba SC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live