Thu, 5 Jan 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya RB Salzburg imemsajili mlinzi Jerome Onguene kwa mkataba wa mkopo mpaka mwisho wa msimu kutoka klabu ya Eintracht Frankfurt.
Klabu ya RB Salzburg imemsajili mlinzi Jerome Onguene kwa mkataba wa mkopo mpaka mwisho wa msimu kutoka klabu ya Eintracht Frankfurt. Onguene (25) raia wa Cameroon anarejea klabuni hapo baada ya kuondoka miezi 6 iliyopita kama mchezaji huru.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live