Mon, 15 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mujibu wa ripoti mbalimbali kutoka nchini Cameroon zinaeleza kuwa huenda mlinda lango wa klabu ya Manchester United na timu ya Taifa ya Cameroon Andre Onana asiwe sehemu ya kikosi kitakachoshuka dimbani leo dhidi ya Guinea.
Onana amewasili Kambini leo baada ya jana Januari 14 kucheza mchezo wa Ligi Kuu England akiwa na Man United.
Michuano ya AFCON mwaka huu imeshangaza wengi sana hasa matokeo ya timu kubwa. Guinea ilimpiga Nigeria (2-0) kwenye mechi ya kujiandaa na AFCON leo atakutana na Cameroon nini kitajiri
Chanzo: www.tanzaniaweb.live