Fri, 6 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlanda lango wa Manchester United na timu ya Taifa ya Cameron Andre Onana ana mpango wa kutoshiriki AFCON hapo Januari akiwa na uzi wa Cameroon kutokana na kinachodaiwa kuwa anahitaji kupigania nafasi yake ndani ya Manchester United.
Mlanda lango wa Manchester United na timu ya Taifa ya Cameron Andre Onana ana mpango wa kutoshiriki AFCON hapo Januari akiwa na uzi wa Cameroon kutokana na kinachodaiwa kuwa anahitaji kupigania nafasi yake ndani ya Manchester United. Kwa kufanya hivyo Onana anaweza kuwa bora zaidi? Tpe maoni yako
Chanzo: www.tanzaniaweb.live