Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Onana kuikosa Libya

Andre Onana Andre Onana

Sun, 19 Nov 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kuelekea mchezo wa kufuzu kombe la dunia ambao unatarajiwa kuchezwa siku ya Jumanne (Cameroon VS Libya)

Mchezaji wa timu ya taifa ya Cameroon na golikipa wa klabu wa Manchester United, Andre Onana anatajwa kutokuwako kwenye mjumuisho wa wachezaji wa kikosi cha timu ya taifa ya Cameroon.

Baadhi ya vyanzo vinatoa taarifa kuwa jeraha hilo siyo kubwa kwani inategemewa kurejea kwenye kikosi cha klabu yake ya Manchester United.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live