Fri, 29 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kipa wa Manchester United Andre Onana amejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 27 cha Cameroon kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON - 2023).
Kipa wa Manchester United Andre Onana amejumuishwa katika kikosi cha wachezaji 27 cha Cameroon kwa ajili ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON - 2023). Michuano hiyo itafanyika nchini Ivory Coast kuanzia Januari 2024.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live