Sat, 13 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanamuziki Ommy Dimpoz ambaye ni shabiki wa Simba SC ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kuchukua ubingwa wa NBC Premiere League 2022/23 leo baada ya kuifunga Dodoma Jiji.
Mwanamuziki Ommy Dimpoz ambaye ni shabiki wa Simba SC ameipongeza Klabu ya Yanga kwa kuchukua ubingwa wa NBC Premiere League 2022/23 leo baada ya kuifunga Dodoma Jiji. Dimpoz ambaye huitania Yanga SC kama desturi, amewapongeza kwa kuwatupia kijembe kwa kusema “Hongereni Gongo Wazi hili kombe lilotengenezwa Veta Mna Zali nalo kweli
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: