Thu, 7 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kocha wa zamani wa klabu ya Manchester, United Ole Gunnar Solskjaer amefunguka kuwa yeye alimsajili Cristiano Ronaldo mwaka 2021.
Na Ronaldo alimwambia kocha huyo kwamba awe anacheza mfululizo kwenye mechi tatu, badala ya nne, kwa sababu ya umri wake umeenda, lakini pindi ukimuacha nje Ronaldo alikuwa ananuna na kukosa furaha.
Ole Gunnar Solskjaer kafunguka namna hiyo kupitia Stick to Football Podcast.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live