Taarifa kutoka Yanga zinasema kuwa, Augustine Okrah sasa amerejea na yupo tayari kuivaa Mashujaa. Okrah anatarajiwa kuwepo leo Alhamisi katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mashujaa utakaochezwa saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex.
Taarifa kutoka Yanga zinasema kuwa, Augustine Okrah sasa amerejea na yupo tayari kuivaa Mashujaa. Okrah anatarajiwa kuwepo leo Alhamisi katika mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Mashujaa utakaochezwa saa 1:00 usiku kwenye Uwanja wa Azam Complex. Kiungo huyo akicheza itakuwa ndio mchezo wake wa kwanza wa Ligi akiwa na jezi ya Yanga tangu ajiunge Disemba mwaka jana akitokea Bechem United ya nchini Ghana.