Sun, 15 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Sheikh Jassim amekuwa na mazungumzo na familia ya Glazers ambayo ndio wamiliki wa Manchester United ili kuinunua 100% ya klabu hiyo.
Sheikh Jassim amekuwa na mazungumzo na familia ya Glazers ambayo ndio wamiliki wa Manchester United ili kuinunua 100% ya klabu hiyo. Kitu cha kushangza ofa mpya ya Sheikh Jassim imekataliwa na familia ya Glazers juu ya mauzo ya Klabu hiyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live