Mon, 13 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Martin Ødergaard amefikisha mabao 10 katika premier league msimu huu, ni mara yake ya kwanza katika career yake kufikisha idadi hiyo ya mabao ndani ya msimu mmoja wa ligi.
Ødegaard katika premier league msimu huu hadi sasa
Michezo 26
Dakika alizocheza 2226
Mabao 10
Pasi za mabao 6
Ana wastani wa kufunga bao kwa kila dakika 223
Ødegaard pia bao alilofunga dhidi ya Fulham hapo jana, limekuwa bao lake la 50 katika career yake kwa upande wa klabu.
Michezo 309
Mabao 50
Pasi za mabao 35
Mnorway wa pili kufikisha mabao 10 katika epl msimu huu baada Erling Haaland
Chanzo: www.tanzaniaweb.live