Mon, 4 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taibi Lagrouni ndio anawaandaa wachezaji wa Yanga kufungua busta kwa dakika 90 non-stop.
Hazungumzwi sana huyu jamaa ila ndio ametia pilipili ya kuwasha kwenye mpira wa Gamondi. Jamaa anawapigisha watu katabogi tu huko Avic Town.
Hatuambiwi tu huku nje lakini inawezekana kuna mtu kashatapika au kutema povu mazoezini. Sasa ukikutana nao uwanjani kazi ndio ile.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: