Thu, 28 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa timu ya Taifa ya Brazil, Adriano ameuza nyumba yake ya kifahari kwa bei ya £1.2m sawa na Bilioni 3.2 za kitanzania.
Adriano baada ya kuuza mjengo wake huo, sasa anaishi hotelini na anasema ataishi hapo hadi kifo kitakapo mkuta.
Adriano analipia £ 10000 kwa mwezi sawa na milioni 27 za kitanzania.
Unaambiwa wakati anahama, hakubeba nguo wala vitu vya ndani, isipokuwa medali zake na tuzo zake alizopata katika maisha yake ya soka.
Taarifa hii kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya mtandaoni.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live