Rais wa Klabu ya Young Africans Sports Club, Eng. Hersi Saidi amepokea zawadi ya jezi ya timu ya taifa ya Mozambique kutoka kwa mchezaji wa Yanga Princes, Cuta Ninita ambae ni sehemu ya kikosi cha timu ya taifa ya wanawake Mozambique, iliyoshiriki michuano ya COSAFA, 2023.
Rais wa Klabu ya Young Africans Sports Club, Eng. Hersi Saidi amepokea zawadi ya jezi ya timu ya taifa ya Mozambique kutoka kwa mchezaji wa Yanga Princes, Cuta Ninita ambae ni sehemu ya kikosi cha timu ya taifa ya wanawake Mozambique, iliyoshiriki michuano ya COSAFA, 2023. Pia Cuta amekabidhi Medali kwa Rais wa Klabu kama zawadi ya kushukuru kwa mchango mkubwa kutoka timu ya taifa ya wanawake, Mozambique kupitia mchezaji wake, na kushika nafasi ya tatu katika michuano hiyo.