Tue, 15 Mar 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Yanga leo Machi 15, 2022 imetangaza mchezaji wake wa Yanga Princess, Aisha Khamis Masaka kusajiliwa na timu ya BK Häcken FF ya nchini Sweden.
Klabu ya Yanga leo Machi 15, 2022 imetangaza mchezaji wake wa Yanga Princess, Aisha Khamis Masaka kusajiliwa na timu ya BK Häcken FF ya nchini Sweden. Klabu ya BK Häcken FF ni Mabingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake nchini Sweden msimu wa 2020.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live