Nyota wa Real Madrid, Brahim Díaz ameamua kuchagua taifa la Morocco na kuitumikia Timu ya Taifa hilo na Kuachana na Uhispania huku akitaka kukamilisha taratibu zote mapema kabla ya AFCON kuanza ili awe Mmoja wapo katika kikosi cha Morocco.
Nyota wa Real Madrid, Brahim Díaz ameamua kuchagua taifa la Morocco na kuitumikia Timu ya Taifa hilo na Kuachana na Uhispania huku akitaka kukamilisha taratibu zote mapema kabla ya AFCON kuanza ili awe Mmoja wapo katika kikosi cha Morocco. Baba Mzazi wa nyota huyo asili yake ni Morocco ndio maana akaamua kufata taifa la baba yake licha ya Mama yake kuwa Mhispania na Maisha yake yote yakiwa ndani ya uhispania.