Fri, 20 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwanadada mlinda lango raia wa Nigeria Chiamaka Nnadozie amekuwa mlinda lango bora kwa sasa barani ulaya Kwenye soka la Wanawake.
Alidaka penalt Kwenye mechi iliyopita na kuiondosha kabisa Arsenal katika raundi ya kwanza ya UEFA Champions League
Tena jana usiku aliokoa penalti 2 muhimu dhidi ya Wolfsburg ya Ujerumani kwenye Ligi ya Mabingwa na kuisaidia timu yake ya Ufaransa, Paris FC kuondoka na ushindi wa magoli 2-0
Chanzo: www.tanzaniaweb.live