Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa Manchester City Doku amefanya mahojiano na kuulizwa ni yupi bora kwake kati ya Messi na Ronaldo
Reporter: Messi au Ronaldo?
Doku: “Kama mchezaji hajaonesha ubora wake EPL kwangu ni mchezaji wa kawaida ,CR7 ni Legend hapa England , Hispania , Italy na Ureno kwanini umlinganishe na mchezaji aliyefeli Ligue 1 ? “
“Kumlinganisha Ronaldo na Messi ni matusi kwa Ronaldo ,yule ni mchezaji mkubwa hakuna wakufika ubora wake “
Chanzo: www.tanzaniaweb.live